Searching...
Saturday, January 20, 2024

MAUMIVU YA HEDHI: YANAWEZA ponywa kwa PAPAI

Saturday, January 20, 2024
Maumivu ya hedhi:  papai huwa na kitu kinachojulikana kwa jina la "papain" ambacho kinahusiana na damu ya hedhi, imeonekana kuchangia katika kurekebisha na kuboresha hali.

Mtoto wa jicho: Papai lina wingi wa Vitamin A na beta-carotene ambazo ni muhimu kwa afya ya macho na uwezo wa kuona. 

Pumu: Papai lina beta-carotene nyingi. Ikiwa una pumu, jaribu kula papai.

Afya ya Mifupa: Papai huongeza ufyonzaji wa calsium kutoka kwenye mifupa, hupunguza utolewaji wa kalsiamu na figo, na huwa na protini zinazolinda mifupa. 

Afya ya Ngozi na Nywele: Papai na mwingi wake wa  vitamin A huamsha tezi za mafuta mwilini na nywele,kwa wenye chunusi hupunguza chunusi ndio maana. 

Gesi na Ukosefu wa Chakula: Papai hupunguza asidi tumboni, ikiwa mtu ana kiungulia na maumivu ya tumbo, papai ni tiba.
Share This:

0 comments:

Know us