Searching...
Wednesday, February 7, 2024

KULIPWA MABILIONI KWA KUBUNI TAFADHARI NIPIGIE

Wednesday, February 07, 2024
Kenneth Makate.wa Afrika Kusini alikataa rufaa  juu ya kesi yake Mahakama ya Juu ya Rufaa nchini  imetupilia mbali rufaa ya Vodacom dhidi ya mbunifu huyo  wa huduma ya ‘Tafadhali Nipigie,’ 

Aidha, mahakama imeiamuru Vodacom imlipe Makate kati ya asilimia 5 hadi 7.5 ya jumla ya mapato yaliyotokana na huduma hiyo kwa zaidi ya miaka 18 iliyotumika, pamoja na riba.
Share This:

0 comments:

Know us